Friday, May 9, 2025
Home Makala Sababu Ya Kutokufika Kambini,Mkude

Sababu Ya Kutokufika Kambini,Mkude

by Sports Leo
0 comments

Jonas Mkude ambaye ni winga wa Simba  ameeleza sababu kubwa iliyomfanya ashindwe kujiunga na timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ ni matatizo ya kibinadamu yanayomkabili na siyo suala la utovu wa nidhamu.

Nyota huyo alichelewa kujiunga na timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars iliyokuwa imeweka kambi kwa ajili ya kujiwinda na michuano ya CHAN iliyotarajiwa kufanyika nchini Cameroon  kabla haijaahirishwa kutokana na maambukizi ya virusi vya Coronavilivyoingia duniani.

“Haina maana kwamba mimi ni mtovu wa nidhamu ndio maana nilichelewa kujiunga na timu ya Taifa hapana ninaithamini kazi yangu lakini masuala ya kibinadamu ndiyo ambayo yamekuwa yakinitatiza na kushindwa kuwahi kwenye kambi”alisema Mkude

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.