Saturday, May 10, 2025
Home Makala PSG Wababe ,Watinga Fainali

PSG Wababe ,Watinga Fainali

by Sports Leo
0 comments

PSG wamefanikiwa kuibuka wababe na kutinga mazima hatua ya fainali ligi ya mabingwa ulaya baada ya kushinda mabao 3-0 dhidi ya Leipzig mjini Lisbon siku ya jana katika mchezo wa hatua ya nusu fainali uliokuwa na ushindani mkubwa.

Kipindi cha Kwanza cha mchezo PSG ilitupia mabao mawili ambapo bao la kwanza lilipachikwa na Marquinhos dakika ya 13 na Di Maria alifunga bao la pili dakika ya 42 .

Bao la tatu lilipachikwa na Benatti dakika ya 56 kipindi cha pili cha mchezo na kuwaacha nyuma mazima wapinzani wao kwa kutinga fainali ambayo inatarajiwa kuchezwa Jumapili,Agosti 23 dhidi ya mshindi atakayepatikana kwenye mchezo wa Bayern Munich na Lyon.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.