Home Makala Pogba Mpaka Desemba

Pogba Mpaka Desemba

by Sports Leo
0 comments

Staa wa klabu ya Manchester united Paul Pogba atakuwa nje ya uwanja mpaka mwezi desemba mwaka huu baada ya kupata jeraha la kifundo cha mguu mwezi augosti wakati wa mchezo dhidi ya Southampton.

Akiongea na waandishi wa habari kocha Olle Gunnar Solskjaer amethibitisha kukosekana kwa kiungo huyo mpaka mwishoni mwa mwaka kufuatia kushindwa kupona majeraha yake hayo licha ya kuhudhuria kliniki ya matibabu Dubai mwezi uliopita.

“Sidhani kama tutamuona mapema kabla ya desemba kwani atakua nje ya uwanja kwa siku kadhaa anatakiwa kupata muda wa kupona kabisa”.

banner

Solskajaer

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.