Wednesday, May 14, 2025
Home Makala Mwanamichezo Na Corona

Mwanamichezo Na Corona

by Sports Leo
0 comments

Mwanamama Isabella ambaye ni shabiki mkubwa wa michezo ndiye wa kwanza kugundulika na virusi vya Corona katika ardhi ya Tanzania akitua kwenye uwanja wa KIA siku ya Jumapili 15 March,2020.

Isabella amesema kuwa kwa sasa anaendelea vizuri baada ya kugundulika ana Corona, hivyo tumuombee apone haraka arejee kwenye ubora wake.

“Nilihisi nina virusi vya Corona baada ya kutoka Ubelgiji kwa kuwa virusi hivyo vilishaenea huko na hata baba mwenye nyumba wangu nilipofikia alikuwa tayari ameshaathirika”alisema Isabella

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.