Friday, May 9, 2025
Home Makala Mbaki Salama-Kagere

Mbaki Salama-Kagere

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere amerejea leo nchini Rwanda kwa ajili ya mapumziko mafupi baada ya ligi kuu bara kusimamishwa kwa muda wa siku 30 kutokana na kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona.

Kupitia ukurasa wake wa instagram Kagere amesema kuwa:” Usalama kwanza na ni matumaini yangu kila kitu kitakuwa sawa, bakini salama”

Kiungo huyo ambaye ametupia jumla ya mabao 19 kwenye timu yake ya Simba Sc ambayo inashika nafasi ya kwanza ligi kuu ikiwa na pointi 71 anatarajia kurudi nchini Tanzania baaada ya ligi kutangazwa kuanza.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.