Tuesday, May 13, 2025
Home Makala Makonda Kuipa Nguvu Stars Misri

Makonda Kuipa Nguvu Stars Misri

by Sports Leo
0 comments

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paulo Makonda amewasili nchini Misri kwenda kuipa hamasa timu ya taifa ya Tanzania kufuatia kupoteza mechi ya awali dhidi ya Senegali kwa mabao mawili kwa bila.

Makonda amewasili nchini humo kufuatia kukubaliwa ombi lake la kwenda nchini humo na Raisi Magufuli hapo jana wakati akizindua gesi (Taifagas) kurasini jijini Dar es salaam ambapo mkuu huyo wa mkoa wa Dar es salaam alipewa ruhusa maalumu na Raisi ili kuhakikisha timu hiyo inaibuka na ushindi kwenye mechi zilizosalia dhidi ya Kenya na Algeria.

Taifa Stars imebakiwa na mechi mbili baada ya kupoteza mchezo wa kwanza dhidi ya senegali na kesho usiku itashuka dimbani kutafuta alama tatu dhidi ya majirani wa Kenya anayoichezea kiungo Victor Wanyama wa Tottenham Hotspurs.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.