Wednesday, May 7, 2025
Home Makala Majeraha Kikwazo Lwanga Kucheza

Majeraha Kikwazo Lwanga Kucheza

by Sports Leo
0 comments

Kwa mujibu wa Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba sc Barbara Gonzalez kiungo mpya wa klabu hiyo Thadeo Lwanga anasumbuliwa na majeraha ndio maana hajaonekana uwanjani mpaka sasa.

Usajili wa mchezaji huyo umeleta sintofahamu kwa mashabiki wa klabu hiyo kutokana na mchezaji huyo kushindwa kuonekana uwanjani licha ya taratibu za usajili kukamilika ambapo tetesi zilizagaa kuwa hajapata hati ya kimataifa ya uhamisho(Itc).

Majibu ya Barbara yamehitimisha mjadala kuhusu kiungo huyo ambaye wengi walidhani atacheza mchezo wa kimataifa siku ya jumatano dhidi ya Fc Platnum kutokana na kukosekana kwa Jonas Mkude aliyesimamishwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.