Tuesday, May 6, 2025
Home Soka David Luiz Njia Panda

David Luiz Njia Panda

by Sports Leo
0 comments

Kufuatia kipigo cha mabao 3-0 ilichokutana nacho Arsena hapo jana kutoka kwa klabu ya Manchester City katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza umeweka rehani hatma ya beki huyo katika klabu yake.

Luiz aliyewahi kuichezea Psg na Chelsea kwa wakati mbalimbali aliingia katika mchezo huo kipindi cha pili ambapo alionyesha kiwango kibaya ikiwemo kusababisha penati pamoja na kuonyeshwa kadi nyekundu.

“Sijui nini kitatokea kwenye mkataba wake. Najua nini kilichotokea leo (Jana) Kulikuwa na sababu kwanini sikumuanzisha mwanzo (mchezo dhidi ya City)” Alijibu Kocha Mikel Arteta alipoulizwa kuhusu mkataba wa beki huyo.

banner

David Luiz naye alisema”Ningetakiwa kuchukua uamuzi tofauti katika miezi miwili iliyopita. Kujaribu na kuamua hatma yangu, kujaribu na kuamua mapema iwezekanavyo. Haikuwa kosa la timu, lilikuwa kosa langu. Kocha ni mzuri” .

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.