Wednesday, May 7, 2025
Home Soka Corona Yaua Rais Marseille

Corona Yaua Rais Marseille

by Sports Leo
0 comments

Aliyekuwa rais wa zamani wa klabu ya soka ya Marsielle ya nchini Ufaransa  Pape Diouf amepoteza maisha baada ya kuambukizwa corona akiwa na miaka 68.

Alikuwa raisi wa klabu ya Marseille tokea 2005-2009. Katika uongozi wake klabu ilifanikiwa kumaliza nafasi ya 2 (2006 & 2009.)

Diouf alikuwa mwandishi wa habari kutoka Senegal na kuhamia Marrseille akiwa na miaka 8 ndipo alipoanza kazi yake ya uandishi kwenye gazeti la jiji na Baadae aliamua kuwa wakala wa wachezaji. Alikuwa wakala wa Basile Boli, Joseph Antoine Bell na wengineo.

banner

Aliisaidia Marseille kunyakua kumaliza nafasi ya pili kwenye ligi mwaka 2006 na kwa mara ya kwanza tokea 1998 huku pia Akiisaidia pia kunyakua ubingwa wao kwanza kwa kipindi cha miaka 10.

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.