Friday, May 9, 2025
Home Makala Hakika Tutapumzika

Hakika Tutapumzika

by Sports Leo
0 comments

Kusimamishwa kwa mashindano ya soka nchini kwa muda wa mwezi  mmoja imekuwa fursa kwa wachezaji wa timu mbalimbali kupumzisha mwili na kujiweka fiti kabla ya kuendelea na soka siku zijazo.

Serikali ilisimamisha mashindano hayo na utekelezaji wake ukafanywa na shirikisho la mpira wa miguu (TFF) ikiwa ni miongoni mwa hatua za kujikinga na virusi vya Corona.

Baada ya wachezaji kucheza idadi kubwa ya mechi kwa muda wa miezi mitatu mfululizo bila kupata mapumziko,hii inakuwa fursa kwao kupumzika na familia zao huku wakijikinga na virusi vya Corona vilivyoingia nchini 15,machi 2020 kupitia mwanamama Isabella.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.