Wednesday, May 7, 2025
Home Soka Senzo Aongeza Majembe Mawili

Senzo Aongeza Majembe Mawili

by Sports Leo
0 comments

Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba Senzo Mazingisa amewateua Rispa Hatibu kuwa kuwa msaidizi wake huku pia akimteua kuwa mkurugenzi wa wanachama na mashabiki uteuzi ambao umeanza rasmi leo novemba mosi.

Senzo alikua hana msaidizi tangu alipoteuliwa na klabu hiyo mwezi septemba akitokea nchin Afrika kusini alipokua akifanya kazi mbalimbali za michezo hasa katika klabu za soka nchini humo kama Orland pirates na Platnum stars.

Taarifa kutoka klabuni hapo imeonyesha kuwakaribisha wakurugenzi hao wapya.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.