Ilikua raha kama kulamba asali ya nyuki wadogo,Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mashabiki na viongozi wa klabu ya Yanga sc kutoka na furaha uwanjani kufuatia ushindi wa klabu hiyo dhidi …
Tabora United
-
-
Uongozi wa wa klabu ya Tabora United umempa saa 24 Ofisa habari wa klabu ya Yanga Sc Ally Kamwe kumuomba radhi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paul Chacha Matiko …
-
Afisa mtendaji wa klabu ya Tabora United Charles Obiny ameweka wazi kuwa kocha wao Anicet Kiazmak atarejea nchini hivi karibuni kuiwahi mechi yao dhidi ya Yanga sc inayotarajiwa kufanyika mwanzoni …
-
Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi uliopo mkoani tabora umefungiwa kitumika katika michezo ya ligi kuu ya Nbc nchini pamoja na kombe la Shirikisho la Crdb kutokana na kukosa vigezo vya …
-
Klabu ya Simba Sc imefanikiwa kurejea kileleni mwa msimamo wa ligi kuu nchini baada ya kuifunga timu ya Tabora United kwa mabao 3-0 katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika katika …
-
Klabu ya Tabora United imeahidiwa kupata zawadi ya shilingi milioni hamsini za kitanzania endapo itaifunga klabu ya Simba Sc katika mchezo wa ligi kuu utakaofanyika Februari mosi mwaka huu. Awali …
-
Winga wa zamani wa klabu ya Yanga sc na Singida Big Stars Deus Kaseke amejiunga na klabu ya Pamba Jiji Fc kwa mkataba wa miezi sita akiwa kama mchezaji huru. …
-
Klabu ya Azam Fc imekubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Tabora United katika mchezo wa ligi kuu ya soka ya Nbc uliofanyika katika uwanja wa Al Hassan Mwinyi mkoani …
-
Unaweza kuwa msimu wa maajabu kwa klabu ya Tabora United kutokana na kuendelea kukusanya alama katika michezo yake ya ligi kuu baada ya kuifunga Kmc ikiwa nyumbani kwa mabao 2-0 …
-
Ni ubabe kwa kwenda mbele ndio ulitawala katika mchezo wa ligi kuu ya Nbc nchini baina ya Tabora United dhidi ya Singida Black Stars uliofanyika katika uwanja wa Ali Hassan …