Klabu ya Real Madrid imekubali kichapo cha mabao 4-3 kutoka kwa klabu ya Fc Barcelona katika mchezo wa ligi kuu ya soka nchini humo (La liga) uliofanyika katika uwanja wa …
Real madrid
-
-
Klabu ya Barcelona Fc imeibuka mabingwa wa kombe la mfalme la nchini Hispania (Copa De La Rey) baada ya kuifunga timu ya Real Madrid kwa mabao 3-2 katika mchezo mkali …
-
Klabu ya Real Madrid imeshindwa kutamba mbele ya Manchester City baada ya kukubali kipigo cha mabao 4-0 na kutolewa katika michuano ya klabu bingwa barani ulaya kwa jumla ya mabao …
-
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Tottenham na Real Madrid Gareth Bale amestaafu kucheza soka la ushindani rasmi kuanzia Jumatatu Januari 9 baada ya kutangaza taarifa hizo kupitia mitandao yake …
-
Real Madrid imefanikiwa kutwaa taji la klabu bingwa barani ulaya ikimfunga Liverpool Fc 1-0 katika mchezo wa fainali uliofanyika katika uwanja wa Stadium de France uliopo St.Dennis jijini Paris Ufaransa. …
-
Ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya klabu ya Manchester City ilioupata klabu ya Real Madrid umeiwezesha kuingia hatua ya fainali ya michuano ya klabu bingwa barani ulaya katika mchezo uliofanyika …
-
Klabu ya Manchester City imeibuka na ushindi wa mabao 4-3 dhidi ya Real Madrid mchezo wa nusu fainali ya Uefa Champions League mchezo uliofanyika katika uwanja wa Ettihad jijini Manchester. …
-
Klabu ya Chelsea imeshindwa kufuzu hatua ya nusu ya michuano ya klabu bingwa barani ulaya licha ya kuibuka na ushindi wa 3-2 ugenini dhidi ya Real Madrid katika uwanja wa …
-
Mabao matatau ya Karim Benzema yalitosha kutuma salamu kwa Chelsea kujipanga katika mchezo ujao wa hatua ya marudiano jijini Madridi baada ya kuwaadhibu kwa jumla ya mabao 3-1 katika mchezo …
-
Mabao matatu ya mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Karim Benzema yalitosha kuwaondosha Psg katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano ya klabu bingwa barani ulaya mchezo uliofanyika …