Mshambuliaji wa klabu ya Simba sc Stephen Desse Mukwala amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Nbc kwa mwezi machi akiwashinda Ellie Mpanzu na Pascal Msindo wa klabu ya …
Bodi ya ligi
-
-
Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mh.Palamagamba Kabudi amekutana na viongozi wa klabu za Simba sc na Yanga pamoja na wale wa Shirikisho la soka nchini sambamba na Bodi ya …
-
Bodi ya ligi kuu nchini imefanya mabadiliko madogo katika ratiba ya ligi kuu nchini ambapo klabu ya Simba Sc sasa itapambana na Singida Black Stars siku ya Disemba 28 mwaka …
-
Taarifa kutoka nchini Ubelgiji zinadai kuwa staa wa klabu ya Coastal Union Lameck Lawi yuko mbioni kurejea nchini baada ya kufeli majaribio katika klabu ya K.A.A Gent inayoshiriki ligi kuu …
-
Wachezaji wa klabu ya Simba Sc, Kibu Denis na Mzamiru Yassin wametozwa faini ya Tsh 1,000,000 kila mmoja kwa kosa la kuondoa taulo la mlinda mlango wa Coastal Union, Ley …
-
Bodi ya ligi kuu nchini imemtangaza kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga sc Stephane Aziz Ki kuwa mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa ligi kuu nchini akiwashinda Moses Phiri wa …
-
Wachezaji Feisal Salum wa Azam Fc na Mudathir Yahya Abass wa Yanga sc wameepuka adhabu ya kufungiwa na bodi ya ligi baada ya kufanya kosa la kutosalimiana na wachezaji na …
-
Kocha AbdulHamid Moallin pamoja na mchezaji Waziri Junior wamefanikiwa kuchukua tuzo za kocha bora na mchezaji bora wa mwezi septemba kutoka na taarifa iliyotolewa na bodi ya ligi kuu nchini. …
-
Katika mchezo wa ligi kuu nchini baina ya Azam Fc dhidi ya Yanga sc mastaa wa Yanga sc pamoja na kocha Nasreddine Mohamed Nabi walikabidhiwa tuzo zao walizoshinda kama kocha …
-
Klabu ya Yanga sc imelalamika kutotendewa haki na waamuzi wa ligi kuu nchini kiasi cha kusababisha kuwa na matukio mengi tata katika michezo inayowahusisha wao nchini. Yanga sc kupitia kwa …