Home Soka Yanga Kumekucha

Yanga Kumekucha

by Sports Leo
0 comments

Kuelekea mechi dhidi ya watani wa jadi Simba sc siku ya jumapili klabu ya Yanga sc imewaandalia dau nono wachezaji wa klabu hiyo endapo wataibuka na ushindi katika mchezo huo.

Akizungumza hivi leo mkuregenzi wa uwekezaji wa Gsm Tanzania kampuni ambayo inashughulikia masuala ya usajili klabuni hapo Enjinia Hersi Said alisema kwamba timu hiyo imeendaa zawadi nono kama ilivyo kawaida yake.

“Tumeandaa kambi nzuri na bonasi za wachezaji kuelekea mchezo ujao wa nusu fainali dhidi ya Simba, lengo ni kuwaongezea morali wachezaji ya kupambana ili malengo yetu ya kuchukua kombe hilo yatimie”Alisema Hersi

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited