Connect with us

Soka

Prisons Yawazuia Nchimbi,Feisal

Nyota wawili wa Yanga Ditram Nchimbi na Feisal Salum wanatarajiwa kuelekea nchini Misri kufanya majariboio kunako klabu ya Smouha inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo

Nyota hao huenda wakaondoka Januari 27 baada ya mchezo wa raundi ya nne michuano ya kombe la Azam kati ya Yanga dhidi ya Prisons ambao utapigwa kesho kwenye uwanja wa Taifa

Inaelezwa kocha mkuu wa Yanga Luc Eymael ndiye aliyezuia kuondoka kwa wachezaji hao mapema licha ya kuwa taratibu zao za safari zilikuwa zimekamilishwa

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka