Connect with us

Soka

Mwambusi Aondoka Yanga sc

Sasa rasmi klabu ya Yanga sc imeachana na kocha msaidizi Juma Mwambusi kwa sababu zilizoelezwa za kiafya ambazo zimethibitishwa na Mwenyekiti wa klabu hiyo Dk.Mshindo Msolla.

Hii ni mara ya pili kwa Mwambusi kuondoka klabuni hapo ambapo awali aliondoka pamoja na aliyekua kocha wa zamani Hans Van Plujm waliyeibukia tena pamoja katika klabu ya Azam Fc.

Bado mpaka sasa haijajulikana kama kocha huyo ameondoka kwa sababu zingine ama ni kwa matatizo ya afya kama ilivyoripotiwa.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka