Home Soka Aussems Bado Utata Simba

Aussems Bado Utata Simba

by Sports Leo
0 comments

Ofisa Mtendaji wa klabu ya Simba, Senzo Mazingisa, amesema Kocha Mbelgiji, Patrick Aussems alimtumia ujumbe ukimwarifu kuwa amepatwa na dharura.
Taarifa imesema kuwa Aussems alimtumia Mazingisa ujumbe huo lakini hakuanisha kuwa ameelekea wapi japo inalezwa alisafiri kuelekea kwao Ubelgiji.
Mazingisa amesema Aussems hakumwambia kuwa anaelekea wapi na ameahidi kulitolea ufafanuzi zaidi pale atakaporejea nchini.
“Aussems bado ni mwajiriwa katika klabu ya Simba.
“Alinitumia ujumbe Jumatatu kuwa ana dharura lakini hakueleza kuwa anaelekea wapi, akisharejea nitakuwa na ya kueleza,” amesema Mazingisa.
Cc:SaleheJembe

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited