Connect with us

Masumbwi

Mwakinyo Kilo Nyingi

Mabondia Hassan Mwakinyo na Arnel Tinampay hii leo wamekamilisha zoezi la upimaji ambapo Mwakinyo amemzidi kilo 1 mpinzani wake Arnel Tinampay atakayepambana naye katika uzani wa Super Welter kesho kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Mwakinyo alikuwa na kilo 70.6 wakati Tinampay alikuwa na kilo 69.7, pia mabondia hao walipimaji wa afya zao chini ya madaktari kutoka hospital tatu za Temeke, Sanitas na Sali International.

Pambano hilo kali na la kusisimua nchini halitakua na kiingilio huku matarajio ya watanzania wengi ni kwa Mwakinyo kuibuka na ushindi.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Masumbwi

  • Mwakinyo Huru

    Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini (TPBRC) imemfungulia bondia Hassan Mwakinyo kutoka kifungoni baada...

  • Bondia Mtanzania Fadhili Majiha ‘Kiepe Nyani’ ambaye ni bingwa wa mkanda wa WBC Afrika...

  • Ibrahim Class Amtwanga Mchina

    Bondia Mtanzania Ibrahim Class ameshinda pambano la ubingwa wa TPBRC dhidi ya bondia raia...

  • Mwakinyo Aitwa Mahakamani

    Kampuni ya PAF Promotion imemfungulia shauri la madai Bondia Hassan Mwakinyo ambalo linatarajiwa kutajwa...