Home Makala Yanga sc,Azam Fc Zamgombea Ndala

Yanga sc,Azam Fc Zamgombea Ndala

by Sports Leo
0 comments

Klabu za Yanga sc na Azam Fc zimeendelea na vita ya kumgombania kiungo Issa Ndalla kujiunga na timu zao baada ya kuendelea kumtafuta kwa ajili ya kumsajili.

Kwa mujibu wa watu wa karibu wa kiungo huyo viongozi wa timu hizo wameendelea kuwasiliana na timu hiyo huku Yanga sc wakiwa wa kwanza kuonyesha nia huku Azam Fc nao wakiingilia dili hilo kuangalia uwezekano wa kumsajili.

“Nimekuwa nikizungumza na Yanga ambao wao ndio walikuwa wa kwanza kunitafuta mara tu baada ya kumalizika kwa mchezo wetu wa marudiano dhidi ya Simba wakati nilipokuja huko Tanzania.

banner

“Ukiachana na Yanga kuna timu pia inaitwa Azam ambao viongozi wao wamenitafuta kwa ajili ya mazungumzo wakiwa wanahitaji huduma yangu.Alisema kiungo huyo.

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited