Home Makala Songne wa Burkinafaso Atua Yanga Sc

Songne wa Burkinafaso Atua Yanga Sc

by Sports Leo
0 comments

Yanga Sc imemalizana na mshambuliaji raia wa Burkina Faso, Yacouba Songne kwa mkataba wa miaka miwili akitokea klabu ya Medeama ya nchini Ghana.

Songne amechaguliwa ndani ya Yanga kwa ajili ya maboresho ya msimu ujao wa 2020/2021 ndani ya ligi kuu.

Bado klabu ya Yanga haijapata kocha ila zoezi zima la usajili linasimamiwa kikamilifu na benchi la ufundi huku mazoezi yameshaanza rasmi jana na leo yanaendelea ndani ya chuo kikuu cha sheria jijini Dar-es-salaam.

 

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited