Home Makala Sita Wasitishiwa Mkataba KMC

Sita Wasitishiwa Mkataba KMC

by Sports Leo
0 comments

Uongozi wa timu  ya KMC imefikia makubaliano ya kusitisha mikataba ya wachezaji watano na wa sita kumuuza mkoani Mtwara katika timu ya Ndanda Fc.

Wachezaji Aaron Lulambo,George Sangija,Rehani Kibingu,Melly Mongolare, na Janvier Besala Bokongu wamesitishiwa mkataba ikiwa sababu kubwa ni kushindwa kuonyesha uwezo wao uwanjani.

Vitalisi Mayanga ameuzwa kwa timu aliyoichezea zamani Ndanda Fc kabla ya kusajiliwa kwa kandarasi ya miaka miwili KMC.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited