Home Makala Simba Vs Alliance Vita Vya Kisasi

Simba Vs Alliance Vita Vya Kisasi

by Sports Leo
0 comments

Simba wamerudi tena jijini Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba katika mechi yake dhidi ya Alliance wakisimamiwa na kocha wao mkuu Sven Vanderbroeck raia wa Ubelgiji.

Alliance iliyochini ya Felix Minziro ina kisasi kizito na Simba baada ya kupoteza michezo miwili mmoja akiwa amechapwa na Simba mabao 2-0 katika uwanja wa nyumbani CCM Kirumba na mara ya pili uwanja wa taifa walifungwa mabao 5-1 hivyo ina mizigo ya kufungwa jumla ya mabao 7-1 na Simba 2018/19.

Hesabu za Simba ni kuchukua pointi sita za kanda ya ziwa ikiwa tatu walishachukua juzi baada ya kuwafunga Mbao Fc 2-1 hivyo tatu zilizo baki ni za leo kutoka kwa Alliance Fc.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited