Home Makala Simba Sc Wamuita Chama Mezani

Simba Sc Wamuita Chama Mezani

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba sc ipo mezani na kiungo Cletous Chama kuzungumza kuhusu kuongeza makataba na klabu hiyo kwa muda wa miaka miwili zaidi taarifa zinadai.

Kiungo huyo ambaye mkataba wake na klabu hiyo unaisha mwishoni mwa msimu huu amewatia hofu wanachama na mashabiki wa klabu hiyo juu ya mstakabali wake klabuni hapo baada ya taarifa kuzagaa kuwa ananyemelewa na klabu ya Yanga sc pamoja na klabu za nje ya Tanzania.

Mpaka sasa inadaiwa klabu hiyo imemuwekea kiungo huyo fedha zinakadiriwa kufikia milioni 250 pamoja na mshahara wa milioni 15 kwa mwezi huku wakishinikiza asaini mkataba wiki hii.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited