Home Makala Rais Mpya Caf Huyu Hapa

Rais Mpya Caf Huyu Hapa

by Sports Leo
0 comments

Tajiri namba tisa barani Africa,Patrice Motsepe amechaguliwa kuwa rais wa Shirikisho la soka barani Africa-CAF katika uchaguzi uliofanyika leo mjini Rabat-Morocco.
Motsepe mwenye umri wa miaka 59 amechaguliwa kufuatia washindani wake watatu kujitoa wiki iliyopita huku aliyekuwa rais wa CAF tangu mwaka 2017 Ahmad Ahmad adhabu yake ya kufungiwa kujihusisha na michezo ikipunguzwa kutoka miaka 5-2 hivyo kukosa sifa ya kugombea Urais wa CAF.
Washindani waliojitoa wiki iliyopita ni Jacques Anouma,Ahmed Yahya na Augustin Senghor.
Mostepe ni ndugu wa rais wa Afrika Kusini,Cyril Ramaphosa.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited