Home Makala Mwendelezo Ligi Kuu Upo Namna Hii

Mwendelezo Ligi Kuu Upo Namna Hii

by Sports Leo
0 comments

Mwendelezo wa ligi kuu Tanzania Bara utaanza kwa Yanga na timu nyingine zenye mechi za viporo na kwa upande wa Robo fainali ya FA itachezwa punde baada ya mechi za viporo kumalizika.

Ligi itachezwa kwa muda wa mwezi mmoja na kwa siku zitachezwa mechi tano saa 8,10,12 na saa 2 usiku ambapo mbili zitacheza uwanja wa Chamazi, mbili nyengine Uhuru na Uwanja wa Taifa mechi moja.

Wadhamini wa Ligi watachangia fedha kidogo sana ila upande wa timu zitajigharamia kwa asilimia kubwa sehemu za maradhi na chakula watakapokuwa Dar, kwa kipindi chote cha kumalizia Ligi ambapo kila baada ya raundi moja kumalizika kutakuwa na mapumziko ya siku mbili.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited