Connect with us

Makala

Morisson Wa Simba Atajwa Yanga

Yanga Sc imemtangaza Benard Morisson kuwa ni miongoni mwa wachezaji wake wakati wakiwatambulisha wachezaji wapya na wale waliokuwa kwenye kikosi hicho msimu wa 2019/2020 katika siku yao ya kilele cha wiki ya wananchi uwanja wa Mkapa,jijini Dar-es-salaam.

Wakati wa utambulisho wa wachezaji hao mtangazaji, Maulid Kitenge alisema kuwa mchezaji namba 28 ambaye ni banard Morrison bado ni mchezaji wa Yanga japo ameshatambulishwa na watani wao wa jadi Simba Sc na leo ni mechi yake ya kwanza dhidi ya Namungo Fc katika ngao ya jamii akiwa ndani ya Simba Sc.

Katika mabao 2-0 ya Simba Sc waliyopigwa Namungo Fc,Benard Morisson amehusika katika bao la pili ambapo lilidumu dakika 90 za mchezo na kuwapatia Simba Sc taji la ngao ya jamii

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala