Home Makala Liverpool Vs Ajax Kukiwasha Leo

Liverpool Vs Ajax Kukiwasha Leo

by Sports Leo
0 comments

Ligi ya mabingwa inaendelea leo ambapo watetezi wa ligi kuu England,Liverpool itavaana na Ajax majira ya saa 4:00 usiku uwanja wa Johan Cruijff Arena.

Huu ni mchezo wa aina yake katika ulimwengu wa soka ambapo unatukumbusha mwaka 1966 walipokutana na hawajawahi kukutana tena mpaka sasa.

Ajax ni miamba ya soka nchini Uholanzi na leo Oktoba 21,watawakaribisha miamba ya soka la Uingereza,Liverpool.

banner

Liverpool inakwenda kukutana na Ajax kwenye mchezo huu bila mlinzi wao  hodari Virgil Van Dijik na golikipa wa Alisson Becker, japo bado wanaonekana kuwa tishio kwa  Ajax kwani hawajawahi kuifunga Liverpool mara mbili tangu walipokutana.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited