Home Makala Kocha Msaidizi Afc Arusha Afariki

Kocha Msaidizi Afc Arusha Afariki

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Afc Arusha imetangaza kifo cha Kocha Msaidizi wa klabu hiyo Luke Juma kilichotokea hapo Jana.

Habari iliyotolewa leo kwenye vyombo vya habari na ofisa habari wa klabu hiyo, Bahati Msilu imeeleza kuwa Luke amefundisha Afc Arusha kwa nyakati tofauti akiwa ni kocha mpaka umauti unamkuta akiwa kama kocha Msaidizi wa klabu hiyo akishirikiana na Mwalimu Ulimboka Mwakingwe.

Afc Arusha wanatoa pole kwa familia ya Marehemu, ndugu jamaa,marafiki wote na Familia ya wapenda michezo wote hapa nchini.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited