Home Makala Keita Aikoa Mali

Keita Aikoa Mali

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa kimataifa wa Guinea na klabu ya Liverpool FC Naby Keïta ametoa ndege yake binafsi ili kuwasafirisha wachezaji wenye asili ya Guinea waliopo Ufaransa ili wakaichezee timu ya taifa ya Guinea katika mechi mbili za kufuzu Afcon dhidi ya Mali na Namibia
Wachezaji wa Guinea wenye asili ufaransa walipigwa marufuku kusafiri nje ya bara la Ulaya vinginevyo watumie ndege binafsi na watapaswa kukaa karantini watakaporejea ufaransa.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited