Home Makala Flamengo Warejea Mazoezini,Serikali Yapinga Vikali

Flamengo Warejea Mazoezini,Serikali Yapinga Vikali

by Sports Leo
0 comments

Serikali la Brazili imepinga vikali kitendo cha klabu ya Flamengo kuruhusu wachezaji wake kurejea mazoezini ili hali serikali bado haijaruhusu.

Flamengo ambao walishinda taji la ligi na Copa Libertadores mwaka 2019 iliwaita wachezaji wake kurejea na kuanza mazoezi siku ya Jumatatu hii ni baada ya miezi 2 ya ligi Nchini humo kusimamishwa kutokana na janga la Covid-19 lililoikumba Dunia.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited