Kocha mkuu wa kikosi cha Yanga Sc ,Luc Eymael ametoa taarifa kuwa atakaporudi nchini Ubelgiji ataoa mke wa tatu machi,28 siku ya Jumamosi baada ya kuwa tayari ameshaachana na wake zake wawili kwa sababu zisizozuilika.
Kocha huyo mwenye watoto wawili wa kike kutoka kwa wake zake wa awali ,mtoto wa kwanza ana umri wa miaka 33 sawa na jezi ya mchezaji wake Bernard Morrison.
“Nitaoa tena mke wa tatu tarehe 28 machi baada ya kuachana na wake zangu wa awali”alisema Eymael