Home Makala Barcelona Kumuongezea Stegen Mkataba

Barcelona Kumuongezea Stegen Mkataba

by Sports Leo
0 comments

Mabosi wa Barcelona kwa sasa wanampango wa kumuongezea mkataba kipa wake Marc-Andre ter Stegen ambaye mkataba wake unatarajiwa kumalizika 2022.

Malengo ya Barcelona ni kumpa mkataba ambao utaenda mpaka 2025 ambapo kipa huyo atakuwa amefikisha miaka 33 tangu asajiliwe na timu hiyo mnamo 2014 akitokea klabu ya Borussia Mönchengladbach ambayo inashiriki Ligi Kuu ya Ujerumani.

Taaarifa  ambazo Marca imeeleza kuwa makubaliano baina ya pande mbili yamefika  pazuri na huenda mambo yakiwa sawa staa huyo atasaini mkataba wake mpya.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited