Home Makala Azam Wamfata Beki Kwa Ndege

Azam Wamfata Beki Kwa Ndege

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Azam imetumia ndege binafsi kumleta jijini Dar es salaam beki wake wa kulia, Nicolas Wadada aliyekuwa amekwama nchini kwao Uganda kutokana na uwepo wa zuio la kutotoka nje na kufungwa kwa mipaka kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona.

Azm fc imelazimika kufanya hivyo kutokana na umuhimu wa beki huyo kuelekea mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Mbao fc utakaofanyika jijini Dar es salaam.

Wadada amejihakikishia namba ya kudumu katika kikosi hicho kinachonolewa na kocha Aristica Cioaba ambapo hutumika kama mlinzi wa upande wa kulia.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited